
Mo
Money Mo Money Mo Money Mo Money Ndio kinachosema sasa mitaani
Marekani baada ya taarifa kusamba kuwa Jay Z Na Mke wake Beyonce wana
mpango wakufanya ziara ya show 20 sehemu tofauti nchini humo. Mpaka sasa
tarehe ya show haijatajwa na info hizi zinasema mwezi wa sita mwaka huu
show zitafanyika.
Fahamu Jay Z amemaliza tour yake ya show 52 iliyompa pesa nyingi sana
iliyoitwa “Magna Carta” na Beyonce pia kupitia tour yake ya “Mrs Carter
Show” .
Fahamu Jay Z Na Beyonce wamefanya kazi nyingi pamoja kama “Bonnie & Clyde” ,“Crazy in Love”,“Drunk In Love” na “Upgrade U” .