All the way From Lagos, Nigeria 🇳🇬, #StarBoy @wizkidayo amefanikiwa kufungua duka lake la Nguo kwa kutumia Brand yake ya STAR BOY na kulipa jina la Star Boy Pop Up Shop
Kupitia Page yake ya instagram, Wiz ameweka picha hizo zinazoonesha Jinsi ndani ya Jengo hilo lilivyo na Tayari baadhi ya Nguo kama Tshirt, Vikombe, Kofia, Vitambaa na Masweta akiwa ameyaingiza ndani ya Duka hilo.