WaanWaadaji wa Tuzo za BET wameanza kutangaza wasanii ambao watashambulia steji ya tuzo hizo mwaka huu

Waandaji wa Tuzo za BET wameanza kutangaza wasanii ambao watashambulia steji ya tuzo hizo mwaka huu
Image result for nicki minaj
BET wamewatangaza Nicki Minaj, Janelle Monae, H.E.R, Migos na Ella Mai kuwa wataperform kwenye tuzo hizo mwaka huu

Awali BET walimtangaza Jammie Foxx kuwa host wa tuzo hizo ambazo zitafanyika tarehe 24 Juni, Ukumbi wa Microsoft Theatre, Los Angeles, Marekani

Dj Khaled anaongoza kwa wasnaii wanaowania tuzo hizo mwaka huu, anawania tuzo 6, akifiatiwa na Kendrick Lamar mwenye nominations 5, na Migos na SZA ambao wote wanawania tuzo nne nne