
Wakiongea na waandishi wa habari, wamesema itafanyika mikoa minne lakini wamepanga kuwa wataongeza mingine kuanzia tarehe 30 mwezi wa 6 mwaka huu
Wamesema kuwa wakati wa ziara pia watatoa scholarship kwa mashabiki na fursa nyingine nyingi ambazo zitatangazwa baadae
Jux na Vee Money watasindikizwa na Weusi na wasanii wengine
Source: XXL 255