Akizungumza na mtandao wa TMZ, mama huyo alieleza kuwa hata yeye alishtushwa na taarifa hizo lakini alipomuuliza binti yake alimhakikishia kuwa pete hiyo ni urembo.
"Nimejaribu kumuuliza mara kadhaa,ameniambia siyo ya uchumba hivyo namuamini binti yangu kuwa pete ile ameivaa kama pambo," alisema mama huyo.
Kuzagaa kwa picha hiyo kuliibua hisia kuwa staa huyo ameingia rasmi kwenye uchumba na mpenzi wake, Meek Mill