Wasanii wa Serengeti Fiesta 2014 waunga na Afande Sele kwenye 40 ya Mke wake
![]() |
Afande Sele, Tunda mtoto wa afande sele na mdogo wake Tunda |
Leo ilikuwa ni 40 ya Mke wa Afande sele amabayo imefanyikia nyumbani kwa Afande Sele mjini Morogoro na Wasanii ambao
watafanya show pale baadae kwenye jukwaa la
#SerengetiFiesta2014 waliudhulia na kujumuika pamoja na msanii mwenzao
na kubadilishana mawazo, Afande amewasii wasanii kukumbukana na kuwa
pamoja sio tu kwenye matatizo nakuwaimiza waishi kwa upendo.On 22/9/2014
Siku ya jmapili ya tarehe 21 / 9/2014 wasanii wa fieste waliungana pamoja na msanii Afande Sele katika 40 ya mke wake aliyekuwa maarufu kama mama tunda